Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya Plasmodium ambavyo huambukizwa kwa binadamu kupitia mbu aina ya Anopheles. Mbu huyu humng'ata mtu na kuingiza vimelea hivi kwenye damu.
Vihatarishi
Shinikizo la damu la juu ni hali ambapo nguvu ya msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa ya damu ni kubwa zaidi kuliko kawaida, na hivyo kupelekea matatizo ya kiafya kama magonjwa ya moyo na kiharusi.
Ugonjwa wa kisukari umekuwa ikuongezeka kwa kasi na umeongeza mzigo mkubwa kwenye sekta ya afya. katika kipengele hichi tutauzungumzia ili tupate elimu kuhusiana na ugonjwa huu.
Welcome to TUBE MEDICAL CONSULTANCY, your trusted partner in comprehensive healthcare solutions. We specialize in a wide range of services designed to meet the diverse needs of individuals and businesses across various industries.
Get a full body check - up for Tsh 500,000.
Are you ready to take control of your well-being? Introducing our all-inclusive Full Body Check-Up package, specially curated for individuals over 35.